Habari za Punde

PASCO yaandaa mkutano wa kuboresha sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali Zanzibar

VIONGOZI wa Asasi za kiraia Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakifuatilia kwa makini mkutano wa kuboresha sheria ya Jumuiya zisizo za kiserikali Zanzibar, mkutano ulioandaliwa na PACSO na kufanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MRAJIS wa jumuiya zisizo za kiserikali Zanzibar Ahmed Khalid Abdalla, akizungumza katika mkutano wa siku mbili juu ya kuboresha sheria ya Jumuiya zisizo za Kiserikali Zanzibar, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 MKUU wa Wilaya ya Wete Mgeni Khatib Yussuf akihairisha mkutano wa siku mbili juu ya kuboresha sheria za jumuiya zisizo za kiserikali Zanzibar, mkutano ulioandaliwa na PACSO na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.