Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Asaini Kitabu cha Maombolezi na Kukagua Maandalizi ya Maombolezi ya Kifo Cha John Pombe Magufuli Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini  kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais, Dkt. John Pombe Magufuli  kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, Machi 19, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,  Hemed  Suleiman Abdalla (wa tatu kushoto)  wakimsiliza Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) , Meja Jenerali, Charles Mbuge (kulia) ambaye  alikuwa akitoa maelezo kuhusu maandalizi  ya maombolezo ya kifo cha Rais Dkt. John Pombe  Magufuli kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam, Machi 19, 2021. Kushoto  ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana,  Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama,   na watano kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Ally. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.