RAIS Mstaaf wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi akiwa na Marais Wastaaf wakielekea katika
ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Jijini Dodoma.wakati wa hafla ya Rais wa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kulihutubia Bunge
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika paredi ikiongozwa na Mhe
Hassan Zungu wakielekea katika ukumbi wa Bunge wakati wa hafla ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kulihutubia Bunge leo 22-4-2021
Jijini Dodoma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika paredi ikiongozwa na Mhe
Hassan Zungu wakielekea katika ukumbi wa Bunge wakati wa hafla ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kulihutubia Bunge leo 22-4-2021
Jijini Dodoma
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan akiingia katika ukumbi wa Bunge kwa paredi kwa ajili ya
kulihutubia Bunge leo 22-4-2021 Jijini Dodoma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) akiingia katika
ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kulihutubia Bunge na (kushoto kwa Rais) Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Prof Philip Isdor Mpango na (kulia
kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman,Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Naibu Spika wa Bunge
la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia.
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Samia Suluhu Hassan akiingia katika ukumbi wa Bunge kwa paredi kwa ajili ya
kulihutubia Bunge leo 22-4-2021 Jijini Dodoma
SPIKA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Job Ndugai akitowa maelezo baada ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika
Mashariki kabla ya kulihutubia Bunge leo 22-4-2021 Jijini Dodoma na (kulia
kwake) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Prof, Philip Isdor Mpango, Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi,
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, Makamu wa Pili
wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Naibu Spika wa Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia
WABUNGE wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania wakiwa wamesimama wakati ukupigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika
Mashariki kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu
Hassan. kulihutubia Bunge leo 22-4-2021 Jijini Dodoma
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma na
(kulia kwake) Mke wa Rais wa Kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mwalimu
Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere na
Mke wa Rais Mstaaf wa Tanzania Awamu ya Pili Mhe Ali Hassan, Mama Siti Mwinyi
na (kushoto kwake) Mke wa Makamu wa Rais wa Tanzania Mama , wakimsikiliza Rais
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani)
akilihutubia Bunge Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment