Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais Mstaafu wa Awamu
ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika
leo tarehe 30 Aprili, 2021 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre
Jijini Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM ambao Wajumbe
wake Walimchagua kwa Kura zote za Ndiyo kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM leo tarehe
30 Aprili, 2021 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini
Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM ambao Wajumbe
wake Walimchagua kwa Kura zote za Ndiyo kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM leo tarehe
30 Aprili, 2021 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini
Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Heshima kutoka kwa Mwenyekiti
wa UWT Gaudensia Kabaka mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM leo
tarehe 30 Aprili, 2021 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini
Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa ameshikilia Tuzo yake ya Heshima na Pongezi
aliyopewa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT)
mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM leo tarehe 30 Aprili,
2021 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment