RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Masjid
Assalaam Mlandege Jijini Zanzibar alipowasili katika viwanja vya msikiti huo
kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Insha na Tarawekh iliofanyika katika Masjid hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika
Ibada ya Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Assalaam Mlandege Jijini
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika
Ibada ya Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Assalaam Mlandege Jijini
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Imamu Mkuu wa
Masjid Assalaam Mlandege Sheikh Abubakar Mbarak Mumin (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya
Tarawekh iliofanyika jana usiku 15-4-2021,katika Masjid Assalaam na (kushoto
kwa Rais) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Imamu Mkuu wa
Masjid Assalaam Mlandege Sheikh Abubakar Mbarak Mumin (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya
Tarawekh iliofanyika jana usiku 15-4-2021,katika Masjid Assalaam na (kushoto
kwa Rais) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Imamu Mkuu wa Masjid
Asaalaam Mlandege Sheikh Abubakar Mbarak Mumin, baada ya kumalizika kwa Sala ya
Tarawekh iliofanyika katika masjid hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Imamu Mkuu wa Masjid
Asaalaam Mlandege Sheikh Abubakar Mbarak Mumin, baada ya kumalizika kwa Sala ya
Tarawekh iliofanyika katika masjid hiyo jana usiku 15-4-2021.
No comments:
Post a Comment