Habari za Punde

Zaidi ya Shilingi Milioni Moja Kutumika Kukiwezesha Kikundi cha Hamasa Jimbo0 la Chwaka.

Mwakilishi wa viti maalum (watu wenye ulemavu) Mwantatu Mbaraka Khamis akimkabidhi tangi la kuhifadhia maji na mashine ya kupandishia maji  Katibu wa kikundi cha hamasa  Jimbo la Chwaka Mohammed Hassan Ukusi kwajili ya kuendeleza kilimo cha mboga mboga, vifaa vilivyogharimu shilingi milioni moja.
Mwakilishi wa viti maalum (watu wenye ulemavu) Mwantatu Mbaraka Khamis akimkabidhi fedha taslim shilingi laki moja na ishirini Katibu wa kikundi cha hamasa  Jimbo la Chwaka Mohammed Hassan Ukusi kwajili ya kununulia ngoma za kutumia  katika shughuli zao za uhamasishaji.

Mwakilishi wa viti maalum (watu wenye ulemavu) Mwantatu Mbaraka Khamis akimkabidhi tangi la kuhifadhia maji na mashine ya kupandishia maji  Katibu wa kikundi cha hamasa  Jimbo la Chwaka Mohammed Hassan Ukusi kwajili ya kuendeleza kilimo cha mboga mboga, vifaa vilivyogharimu shilingi milioni moja.

PICHA NA FAUZIA MUSSA / MAELEZO ZANZIBAR.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.