Habari za Punde

Zoezi la Uchukuaji wa Fomu ya Udiwani Jimbo la Chwaka

Katibu wa Jimbo la Chwaka Shishi Kapilili Mlepa akiwahimiza  wana CCM kujitokeza katika uchukuaji wa fomu ya Udiwani kujaza nafasi ya aliekuwa Diwani wa Jimbo hilo  wakati alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na zoezi la uchukuaji wa fomu ya udiwani kufuatia aliekua Diwani wa Jimbo Hilo Malenge Khatib Malenge kufariki dunia  kwa ajali siku chache zilizopita .

PICHA NA FAUZIA MUSSA / MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.