Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Mhandisi
Migodi kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Peter Maha ameibuka
mfanyakazi bora na kujinyakulia kitita cha shilingi milioni moja kwenye maadhimisho ya
siku ya wafanyakazi duniani Mei Mosi 2021 yaliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM
Kirumba Wilaya Ilemela mkoani Mwanza.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
No comments:
Post a Comment