Habari za Punde

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi Awatembelea Wazee wa Sebleni na Welezo Zanzibar Kuwapa Mkono wa Eid El Fitry Mei 14, 2021.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Wilaya ya Magharibi "A" Unguja alipofika kuwatembelea na kuwapa Mkono wa Eid El Fitry.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Ustawi wa Jamii 
WAZEE wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) alipofika kuwatembelea na kutowa mkono wa Eid El Fitry katika makazi yao Welezo.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimsalimia na kumpa mkono wa Eid El Fitry mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar, alipofika kuwatembelea katika makazi yao Welezo Wilaya ya Magharibi A Unguja.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimsalimia na kumpa mkono wa Eid El Fitry mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar, alipofika kuwatembelea katika makazi yao Welezo Wilaya ya Magharibi A Unguja.
MTOTO wa Rais wa Zanzibar Siti Hussein Mwinyi akimsalimia mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar na kumpa mkoni wa Eid El Fitry, akijumuika na Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) walipofika katika makazi yao kwa ajili ya kuwasalimia na kutoa mkono wa Eid
MTOTO wa Rais wa Zanzibar Jamila Hussein Mwinyi akimsalimia mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar na kumpa mkoni wa Eid El Fitry, akijumuika na Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani) walipofika katika makazi yao kwa ajili ya kuwasalimia na kutoa mkono wa Eid
MTOTO wa Rais wa Zanzibar Tariq Hussein Mwinyi akimsalimia mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar, na kutowa mkoni wa Eid El Fitry akijumuka na Mama yake Mariam Mwinyi(hayupo pichani) walipofika katika makazi yao Welezo.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wazee wa Kijiji cha Wazee Welezo Jijini Zanzibar, baada ya kumaliza kuwasalimia na kutowa mkono wa Eid El Fitry akiongozana na Wanawe, walipofika katika makazi yao Welezo Wilaya ya Magharibi A Unguja.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia na kuzungumza na Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar alipofika kuwatembelea na kutowa mkono wa Eid El Fitry.

WAZEE wa Nyumba za Wazee Sebleni wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasalimia wakati alipofika kuwatembelea na kutowa Mkono wa Eid El Fitry, katika makaazi yao Sebleni Jijini Zanzibar.

WAZEE wa Nyumba za Wazee Sebleni wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasalimia wakati alipofika kuwatembelea na kutowa Mkono wa Eid El Fitry, katika makaazi yao Sebleni Jijini Zanzibar.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitowa mkono wa Eid El Fitry kwa Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar, alipofika kuwasalimia katika makazi yao.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitowa mkono wa Eid El Fitry kwa Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar, alipofika kuwasalimia katika makazi yao

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitowa mkono wa Eid El Fitry kwa Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar, alipofika kuwasalimia katika makazi yao.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitowa mkono wa Eid El Fitry kwa Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar, alipofika kuwasalimia katika makazi yao
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam MWinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wazee wa Nyumba za Wazee Sebleni Jijini Zanzibar, baada ya kuwasalimia na kutowa mkoni wa Eid El Fitry kwa Wazee hao alipofika katika makazi yao
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.