Habari za Punde

PBZ Yakabidhi Msaada wa Vyakula kwa Vituo Vya Watoto Yatima Pemba Kusherehekea Sikukuu ya Iddi Fitry.

Meneja wa Benki ya Watu wa Zanzibar ( PBZ) Tawi la Wete Kisiwani Pemba Ndg.Mohammed Mussa Ali, akimkabidhi mtoto Maryam Ali mfuko wa unga wa ngano 5Kg,huko katika Kijiji cha Chaani Konde Wilaya ya Micheweni
Meneja wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ)Tawi la Wete Kisiwani Pemba Ndg.Mohammed Mussa Ali akizungumza na wazee na watoto mayatima, huko katika Kijiji cha Chaani Konde, mara baada ya benki hiyo kutoa msaada wa vyakula kwa watoto hao

MLEZI wa jumuia ya ISSO ambayo inajishughulisha na kusimamia mayatima Konde, Omar Khamis Hamad akizungumza katika hafla ya ugawaji wa vyakula kwa watoto mayatima, huko katika Kijiji cha Chaani Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.