Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kikao na viongozi mbalimbali
wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (Tanzania Private Sector Foundation)
kilichofanyika leo tarehe 31 Mei, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kikao na viongozi mbalimbali
wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (Tanzania Private Sector Foundation)
kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya kumbukumbu na viongozi mbalimbali
wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (Tanzania Private Sector Foundation) mara
baada ya Kikao chao kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya kumbukumbu na baadhi
ya viongozi mbalimbali (Wanawake) wa Taasisi ya Sekta
Binafsi Tanzania (Tanzania Private Sector Foundation) mara baada ya Kikao chao
kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya kumbukumbu na viongozi mbalimbali (Wanaume) wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (Tanzania Private Sector Foundation) mara baada ya Kikao chao kilichofanyika leo tarehe 31 Mei, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment