Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Amjulia Hali Dada Mkubwa wa Mama Salma Kikwete.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mwanakombo Bakari dada mkubwa wa Mke wa Rais Mstaaf wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu, Mei 31, 2021.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.