Habari za Punde

Waandishi wa habari za Mazingira nchini wapatiwa semina ya mafunzo ya mabadiliko ya Tabia nchi na biashara ya hewa ukaa,

 

RASI wa Ndaki ya Misitu wanyamapori na Utalii Profesa Suzana Augostino, kutoka chuo kikuu cha SUA Morogoro akifungua mafunzo ya mabadiliko ya Tabia nchi na biashara ya hewa ukaa, kwa waandishi wa habari za Mazingira nchini Tanzania, yaliyoandaliwa na kituo cha kitaifa cha kuratib hewa Ukaa (National Carbon Monitoring Centre).

MRATIB wa kituo cha kitaifa cha kuratib hewa Ukaa (National Carbon Monitoring Centre) Profesa Eliakimu Zahabu, akiwasilisha mada ya biashara ya Kaboni na kujuwa shuhuli za kituo cha kitaifa cha kuratibu Hewa Ukaa, kwa waandishi wa habari za Mazingira nchini Tanzania.

MKURUGENZI Mtendaji wa Chama Cha Waandishi wa Habari za Mazingira nchini Tanzania (JET) John Chikomo, akichangia mada katika mafunzo ya mabadiliko ya Tabia nchi na biashara ya hewa ukaa, yaliyoandaliwa na kituo cha kitaifa cha kuratibu hewa Ukaa (National Carbon Monitoring Centre).

BAADHI ya waandishi wa habari za Mazingira nchini Tanzania, wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada, ya Mabadiliko ya Tabia nchi ilivyoathiri Tanzania, wakati wa mafunzo ya mabadiliko ya Tabia nchi na biashara ya hewa ukaa, yaliyoandaliwa na kituo cha kitaifa cha kuratibu hewa Ukaa (National Carbon Monitoring Centre,).

MHADHIRI mwandamizi idara ya Mazingira kutoka NCMC SUA Deo Shilima, akiwasilisha mada juu ya mabadiliko ya Tabia nchi na athari zake kwa Tanzania, kwa waandishi wa habari za mazingira nchini, mfunzo yalioandaliwa na kituo cha kitaifa cha kuratibu hewa Ukaa (National Carbon Monitoring Centre,).(PICHA NA ABDI SULEIMAN, MOROGORO)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.