Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya Simu masuala mbalimbali ya Kimaendeleo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Adesina Akinwumi ambaye alikuwa akizungumza kutokea Makao Makuu ya Benki hiyo Abidjan nchi Ivory Coast leo tarehe 11 Juni, 2021.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment