Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya Simu masuala mbalimbali ya Kimaendeleo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Adesina Akinwumi ambaye alikuwa akizungumza kutokea Makao Makuu ya Benki hiyo Abidjan nchi Ivory Coast leo tarehe 11 Juni, 2021.
ATE YAZINDUA MCHAKATO WA TUZO YA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2023
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka imeendelea kuwa tukio muhimu linalotambulika
katika ngazi ya kitaifa ambapo kwa miaka kadhaa ...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment