MBUNGE wa Viti Maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini
Pemba Asiya Sharif Omar, akisalimiana na Bi Salma Amour Mohamed mkaazi wa
Kigongo Ungi Msuka, mara baada ya kuwasili kijijini hapo kwa ajili ya kukabidhi
baskeli kwa watoto wenye Ulemavu.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MBUNGE wa Viti Maalumu Wanawake Mkoa wa Kaskazini
Pemba Asiya Sharif Omar, akimuendesha mtoto Zuhura Hassan Haji mwenye ulemavu
wa kutembea, baada ya kumkabidhi baskeli yake ikiwa ni utekelezaji wa ahadi
yake aliyoitoa kwa watoto wenye ulemavu huko Ungi Msuka.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment