Mwenyekiti wa Tume ya uratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiongoza kikao cha kwanza cha kamati hiyo tangu alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi Juni 24, mwaka huu.
FUNGUO Yatangaza Fursa za Ufadhili wa Zaidi ya TZS Bilioni 2.5 kwa
Wajasiriamali wa Tanzania na Biashara Endelevu kwa Mazingira
-
Mradi wa Ubunifu wa FUNGUO, ambao ni mradi wa kimkakati unaofadhiliwa kwa
pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), Jamhuri ya Finland, na Serikali ya Uingereza
(FCDO...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment