Mwenyekiti wa Tume ya uratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiongoza kikao cha kwanza cha kamati hiyo tangu alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi Juni 24, mwaka huu.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment