Mwenyekiti wa Tume ya uratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiongoza kikao cha kwanza cha kamati hiyo tangu alipoteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi Juni 24, mwaka huu.
MABORESHO BANDARI YA DAR ES SALAAM YAZAA MATUNDA , UWEZO KUHUDUMIA SHEHENA WAONGEZEKA
-
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Bandari ya Dar es Salaam Mrisho Mrisho amesema bandari hiyo
imepita katika hatua mbalimbali za maboresho lengo likiwa kuo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment