Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Chande akisikiliza hoja za waliokuwa
watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais hii leo, Tunguu – Zanzibar. Wengine katika
picha ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Bw. Sheusi Mburi
na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Muungano (Ofisi ya Zanzibar) Bi. Shumbani
Ramadhani Tawfiq.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Chande (kulia) leo 7/07/2021
amekutana na waliokuwa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais katika kikao kazi
cha kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili. Kikao hicho kimefanyika
katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Tunguu, Zanzibar na kuhudhuriwa na
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Bw. Sheusi Mburi na
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Muungano (Ofisi ya Zanzibar) Bi. Shumbani
Ramadhani Tawfiq
Picha na Lulu Mussa
No comments:
Post a Comment