Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati akielekea nchini Burundi kwa ajili ya ziara ya siku mbili leo tarehe 16 Julai, 2021. PICHA NA IKULU
KAMPUNI YA BARRON GROUP WANAOTENGENEZA KIATU CHA SHULE WAJITAMBULISHA KWA SPIKA WA BUNGE DK. TULIA
-
* Na Mwandishi Wetu,Dodoma*
*Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment