Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati akielekea nchini Burundi kwa ajili ya ziara ya siku mbili leo tarehe 16 Julai, 2021. PICHA NA IKULU
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment