Habari za Punde

Zoezi la uteketezaji wa madawa ya kulevya ambayo kesi zake zimekamilika wafanyika Kiwanda cha Mafuta na Makonyo Wawi kisiwani Pemba

WAJUMBE wa Kamati ya uteketezaji wa dawa ya kulevya Zanzibar, wakiwa katika zoezi la upokeaji wa dawa hizo zilizokua zimehifadhiwa na Jeshi la Polisi Kisiwani Pemba, baada ya kumaliza kesi zake, kikao cha upokeaji wa dawa hizo kilifanyika Ofisi za Polisi Madungu Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

KATIBU wa kamati ya uteketezaji wa dawa za kulevya Zanzibar, ambae pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar, Luteni Kanali Burhani Zubeir Nassor, akitoa baadhi ya vifurushi vya dawa aina ya Heroin katika moja ya bahasha kwa ajili ya kuhesabiwa na kupimwa, wakati wa kikao cha upokeaji wa dawa hizo kilichofanyika Ofisi za Polisi Madungu Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Zanzibar Dkt Sada Mkuya, akizungumza jambo kwa wajumbe wa kamati ya uteketezaji wa dawa za kulevya Zanzibar, kabla ya kupimwa kwa dawa hizo wakati wa kikao cha upokeaji wa dawa hizo kilichofanyika Ofisi za Polisi Madungu Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

KATIBU wa kamati ya uteketezaji wa dawa za kulevya Zanzibar, ambae pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar, Luteni Kanali Burhani Zubeir Nassor, akifuatilia kwa makini upimaji wa dawa za kulevya kutoka kwa watendaji wa ofisi ya Mkemia mkuu wa Serikali Pemba, wakati wa kikao cha upokeaji wa dawa hizo kilichofanyika Ofisi za Polisi Madungu Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Zanzibar Dkt Sada Mkuya, akionyesha dawa za kulevya aina ya misokoto ya bangi, wakati ilipokua ikipimwa kujulikana uzito wake, wakati wa kikao cha upokeaji wa dawa hizo kilichofanyika Ofisi za Polisi Madungu Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Zanzibar Dkt Sada Mkuya, akishuhudia zoezi la uteketezaji wa dawa za kulevya, pamoja na wajumbe wa kamati ya uteketezaji wa dawa hizo Zanzibar, zoezi lililofanyika katika kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Zanzibar Dkt Sada Mkuya, akishuhudia zoezi la uteketezaji wa dawa za kulevya, pamoja na wajumbe wa kamati ya uteketezaji wa dawa hizo Zanzibar, zoezi lililofanyika katika kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.