Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa Heshima za mwisho katika Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale katika viwanja wa Karimjee Jijini Dar es Salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa pole kwa familia ya marehemu Patrick Mfugale katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo tarehe 02 Julai, 2021.
UBALOZI WA TANZANIA NCHINI PARIS WAONGOZAA USHIRIKI WA WADAU MAONESHO YA
UTALII YA B-TRAVEL
-
Na Mwandishi Wetu, Barcelona
UBALOZI wa Tanzania nchini Ufaransa ambao unawakilisha pia nchini
Uhispania, kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment