Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitoa Heshima za mwisho katika Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale katika viwanja wa Karimjee Jijini Dar es Salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa pole kwa familia ya marehemu Patrick Mfugale katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo tarehe 02 Julai, 2021.
HALMASHAURI WILAYA YA IRINGA WAMSHUKURU RAIS SAMIA UJENZI MABWAWA YA MAJI, KUFUGA SAMAKI
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
WANANCHI wa Jimbo la Kalenga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa
wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na R...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment