Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.,Hussein Ali Mwinyi Ametembelea Eneo la Soko la Samaki Bwawani Mabuluu Akiwa Katika Ziara Yake Wilaya ya Mjini leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyabiashara ya Samaki katika eneo la Bwawani Mabulii Wilaya ya Mjini Unguja akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, kutembelea utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo
WAFANYABIASHARA ya Samaki katika eneo la bwawani mabuluu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.,Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na wafanyabiashara hao alipotebelea eneo wanalofanyika biashara zao baada ya kuhamishwa kutoka malindi ili kupisha ujenzi wa Bandari na Soko la Samaki la Kisasa, akiwa katika ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja
WAFANYABIASHARA katika soko la samaki bandari ya Bwawani Mabuluu Wilaya ya Mjini Unguja wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza nao wakati wa ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja

WAFANYABIASHARA katika soko la samaki bandari ya Bwawani Mabuluu Wilaya ya Mjini Unguja wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza nao wakati wa ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.