Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na wandishi wa Habari baada ya kupigwa sindano ya chanjo ya Covid -19.
Picha na Makame Mshenga.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, alizindua na kuchanjwa chanjo COVID 19 aina ya Cinovac kutoka nchini China .
Amesema kuwa Chanjo hiyo ni hiyari ambayo iko salama na haina madhara kwa jamii imethibitishwa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) .
Waziri Mazrui alieleza kuwa Chanjo hiyo inatolewa bila ya malipo kwa anaetaka kinga hiyo.
No comments:
Post a Comment