Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda Ikulu Kigali Nchini Rwanda leo Agosti 02,2021. Mhe. Rais Samia ameanza ziara ya Kiserikali ya siku mbili Nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais Kagame. IKULU.
KOCHA LAURENCE AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA WACHEZAJI TABORA UNITED
-
Kocha Mkuu wa Timu ya Tabora United Denis Laurence amesema kuwa katika
kipindi cha siku saba tangu alipojiunga na timu anaridhishwa na viwango vya
wachez...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment