Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mhe. Rais Paul Kagame wa Rwanda Ikulu Kigali Nchini Rwanda leo Agosti 02,2021. Mhe. Rais Samia ameanza ziara ya Kiserikali ya siku mbili Nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais Kagame. IKULU.
Yanga waalikwa Ikulu kwa chakula cha jioni
-
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho
tarehe 05 Juni, 2023 ameialika timu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga)
kw...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment