Habari za Punde

Dkt.Shajak Afungua Mkutano wa Pili wa Mradi Uimarishaji wa Mfumo wa Maji Machafu.

KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Dkt Omar Dadi Shajak akizindua awamu ya pili ya mradi wa uimarishaji wa mfumo wa maji machafu msingini Chake Chake Pemba, halfa iliyofanyika nje kidogo ya mji wa Chake Chake.
KATIBU Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Aboud Suleiman Jumbe, akifuatilia kwa makini uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi wa uimarishaji wa mfumo wa maji machafu msingini Chake Chake Pemba, hafla iliyofanyika nje kiddogo ya mji wa Chake Chake.
BAADHI ya washiriki wa taasisi mbali mbali zinazohisha katika usimamizi wa mradi wa uimarishaji wa mifumo ya maji machafu msingini Chake Chake Pemba, wakifuatilia kwa kamini uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi huo, hafla iliyofanyika nje kiddogo ya mji wa Chake Chake.

MKURUFENZI idara ya Mazingira Zanzibar Farhat Ali Mbarouk, akifuatilia uwasilishaji wa mada mbali mbali katika hafla ya uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi wa uimarishaji wa mifumo ya maji machafu msingini Chake Chake Pemba, hafla iliyofanyika nje kiddogo ya mji wa Chake Chake.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.