Habari za Punde

Kamati ya Kanuni na sheria ndogo ndogo ya Baraza la Wawakilishi yakutana na Madiwani wa Baraza la Mji Mkoani Pemba

Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni na sheria ndogo ndogo ya Baraza la Wawakilishi Mhe Mihayo Juma Nhunga akizungumza na Mkuu wa Wilaya Mkoani Khatib Juma Mjaja wakati kamati hiyo ilipofika ofisini  kwake Mkoani kwa ajili ya Kusalimiana kabla ya  Kamati hiyo kuendelea na kikao na madiwani wa Baraza la Mji Mkoani.

Mkurugenzi wa Baraza la mji Mkoani Yussuf Kaiza Makame akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa kamati ya kanuni na sheria ndogo ndogo ya Baraza la wawakilishi kuhusu mambo mbali mbali yanawahusu madiwani wa Baraza hilo.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.