Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani yafanyika kisiwani Pemba

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Profesa Makame Mbarawa Mnyaa (katikati), akiwa na viongozi mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na SMT, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani, Kitaifa Maadhimisho hayo Tanzania yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

VIONGOZI wa Sherikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Khatib Juma Mjaja na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya, akifuatilia kwa makini Maadhimisho ya siku ya Bahari duniani ambapo Kitaifa Tanzania yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA) 

AFISA Mdhamini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Pemba Ibrahim Saleh Juma, akitoa salamu za katibu mkuu wa Wizara hiyo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani kitaifa Tanzania yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI wa Usalama na Mazingira kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi SMT Stella Katondo akitoa salamu za katibu Mkuu wa Wizara hiyo, wakati wa Maadhimisho ya siku ya bahari duniani kitaifa Tnazania yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA) 

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud akitoa salamu za wananchi wa mikoa miwili ya Pemba, wakati wa maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani, kitaifa Tanzania maadhimisho hayo yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Profesa Makame Mbarawa Mnyaa, akifunga maadhimisho ya siku ya Bahari Duniani, kitaifa Tanzania yamefanyika Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.