Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Azindua Katiba ya TAUTA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua Katiba ya Jumuiya ya Wakimbiza Mwenge Kitaifa  (TAUTA)  alipozindua wiki ya vijana kitaifa, katika uwanja wa wa Mazaina, Wilayani Chato, Mkoa wa Geita  Oktoba 12, 2021. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.