Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (katikati) akizungumza baada ya utiaji wa saini ya Hati ya makubaliano na Mkurugenzi wa Qatar Fund For Development Bw.Khalifa Al Kuwari (kulia kwake) na (kushoto kwake) Balozi wa Tanzania Nchini Qatar Mhe. Balozi Mahadhi Juma Maalim, kuwawezesha kuwarejesha Skuli wanafunzi walioacha kuhudhuria masomo katika Skuli za Zanzibar.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA 45 WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA SADC -
AG 17 MADAGASCAR
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akiwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Ivato, kushiriki
Mkuta...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment