Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (katikati) akizungumza baada ya utiaji wa saini ya Hati ya makubaliano na Mkurugenzi wa Qatar Fund For Development Bw.Khalifa Al Kuwari (kulia kwake) na (kushoto kwake) Balozi wa Tanzania Nchini Qatar Mhe. Balozi Mahadhi Juma Maalim, kuwawezesha kuwarejesha Skuli wanafunzi walioacha kuhudhuria masomo katika Skuli za Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment