RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika viwanja vya Mapinduzi Square
Michezani kwa ajili ya kuaza kwa Mbio Zanzibar Blue Economoy Half Marathon 2021
za Kilomita 4 na kumalizia katika uwanja wa Amaan (kushoto kwa Rais) Mke wa
Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais
wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, wakijiandaa kuaza mbio hizo
zilizofanyika leo 6-11-2021 ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Mwaka Mmoja wa
Uongozi wake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika matembezi ya Marathon ya
Kilomita 4, yalioazia katika eneo la Mapinduzi Square Michezani na kumalizia
katika Uwanja wa Amaan Zanzibar na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Mhe Mustafa Idrisa Kitwana na (kushoto
kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakishiriki katika matembezi
hayo ya Zanzibar Blue Economy Half Marathon 2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika matembezi ya Marathon ya
Kilomita 4, yalioazia katika eneo la Mapinduzi Square Michezani na kumalizia
katika Uwanja wa Amaan Zanzibar na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Mhe Mustafa Idrisa Kitwana na (kushoto
kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakishiriki katika matembezi
hayo ya Zanzibar Blue Economy Half Marathon 2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika
Matembezi ya Kilimota 4 ya Zanzibar Blue Economy Hafl Marathon 2021 yaliyoazia
katika eneo la Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar na kumalizia katika
Uwanja wa Amaan na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi
WANANCHI wakiwa katika barabara ya Amani
wakimshangilia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akipita katika eneo hilo wakati
akiwa katika Matembezi ya Kilomita 4 ya Zanzibar Blue Economy Hafl Marathon,
ikiwa ni Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
WANANCHI wakiwa katika barabara ya Amani
wakimshangilia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akipita katika eneo hilo wakati
akiwa katika Matembezi ya Kilomita 4 ya Zanzibar Blue Economy Hafl Marathon,
ikiwa ni Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika
Matembezi ya Kilimota 4 ya Zanzibar Blue Economy Hafl Marathon 2021 yaliyoazia
katika eneo la Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar na kumalizia katika
Uwanja wa Amaan na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi na Abdalla Majura na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmes Said, ikiwa ni maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Uongozi
wake
WANANCHI wakiwa katika barabara ya Amani
wakimshangilia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akipita katika eneo hilo wakati
akiwa katika Matembezi ya Kilomita 4 ya Zanzibar Blue Economy Hafl Marathon,
ikiwa ni Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
Viongozi wa Serikali na Wageni waalikwa wakifuatilia Mbio za Marathon Zanzibar Blue Ecenomy Hafl Marathon 2021, wakiwa katika jukwaa la Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar wakati washiriki wa Marathon hiyo wakimalizia mbio hizo zilizoshirikia Kilomita 21,10 na 4.Ikiwa na shamrashara za Maadhimsho ya Mwaka Mmoja wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi nae ameshiriki Kilomita 4.Wafanyakazi wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ wakifuatilia Mbio za Marathon Zanzibar Blue Ecenomy Hafl Marathon 2021, wakiwa katika jukwaa la Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar wakati washiriki wa Marathon hiyo wakimalizia mbio hizo zilizoshirikia Kilomita 21,10 na 4.Ikiwa na shamrashara za Maadhimsho ya Mwaka Mmoja wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi nae ameshiriki Kilomita 4.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimvisha Nishani Mshindi wa kwanza wa Mbio
za Kilomita 21 za Zanzibar Blue Economy
Hafl Maradhon 2021 Francis Daman baada ya kubuka mshindi wa mbio hizo,
zilizoazia katika eneo la Mapindizi Square Michezani na kumalizia Uwanja wa
Amaan Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimvisha Nishani Mshindi wa kwanza wa Mbio
za Kilomita 21 za Zanzibar Blue Economy
Hafl Maradhon 2021. Natalia baada ya kuibuka mshindi wa mbio hizo, zilizoazia
katika eneo la Mapindizi Square Michezani na kumalizia Uwanja wa Amaan Jijini
Zanzibar
No comments:
Post a Comment