WALIMU kutoka Skuli Mbali Mbali Kisiwani Pemba,
wakifuatilia hafla ya kukabidhi vyeti kwa walimu waliohitimu mafunzo ya elimu
mtandao na masafa, yaliyotolewa na taasisi ya Shaibu Foundation na kufanyika
mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
WALIMU kutoka Skuli Mbali Mbali Kisiwani Pemba,
wakifuatilia hafla ya kukabidhi vyeti kwa walimu waliohitimu mafunzo ya elimu
mtandao na masafa, yaliyotolewa na taasisi ya Shaibu Foundation na kufanyika
mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
RAIS taasisi ya Shaibu Foundation Mustafa Said Abdurabi
(Mustafa Moyo), akisoma Risala ya sherehe ya kuwazawadia vyeti Walimu
waliohitimu mafunzo ya elimu Mtandao na Masafa, kwa walimu waskuli za msingi
na sekondari Pemba, mafunzo yaliyotolewa na taasisi ya Shaibu Foundation.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA elimu Wilaya ya Chake Chake Burhan Khamis
Juma, akitoa nasaha kwa walumu wa skuli za msingi na Sekondari waliohitimu Mafunzo
ya Elimu Mtandao na Masafa, yaliyotolwa na ya Shaibu Foundation na kufanyika
mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
MKURUGENZI wa taasisi ya Shaibu Foundation Mustafa
Said Abdurabi kulia akimkabidhi afisa Elimu
Wilaya ya Chake Chake Burhan Khamis Juma kushoto cheti cha shukrani kwa Wizara
ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, wakati wa kugawa vyeti kwa walimu
waliohitimu mafunzo ya Elimu Mtandao na Masafa, yaliyotolwa na ya Shaibu
Foundation na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
Afisa Elimu Wilaya ya Chake Chake Burhan Khamis Juma
kuliam akimkabidhi cheti Mwalimu Bimkubwa Gongo Shaban kutoka skuli ya
Ng’ambwa, baada ya kuhitimu mafunzo ya Elimu Mtandano na Masafa, mafunzo
yaliyotolwa na ya Shaibu Foundation na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment