Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid akifurahia Jambo na Mgeni wake Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Eala Mhe Martin Ngoga wakati walipokutana kwa ajili ya kufanya mazungumzo hivi karibuni alipokuja Zanzibar kwa ajili ya kushiriki Sherehe za miaka 58 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
NAJIULIZA maswali ya msingi, kama raia mwenye tafakuri na uzoefu katika
uongozi: je, wanaohamasisha maandamano ni wapinzani, wanaharakat...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment