Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid akifurahia Jambo na Mgeni wake Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Eala Mhe Martin Ngoga wakati walipokutana kwa ajili ya kufanya mazungumzo hivi karibuni alipokuja Zanzibar kwa ajili ya kushiriki Sherehe za miaka 58 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment