Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) akiitikia dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar kabi (katikati) katika makaburi ya wanazuoni mbali mbali waliozikwa katika Msikiti wa Ijumaa Malindi Jijini Zanzibar leo alipozuru makaburi hayo kabla ya kujumuika na Waislamu katika Sala ya Ijumaa (kulia) Sheikh Salum Hemed .[Picha na Ikulu] 04/03/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipozungumza na kuwasalimia Waumini wa Dini ya Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Ijumaa Malindi Jijini Zanzibar leo .[Picha na Ikulu] 04/03/2022.
Usalama wa Waandishi wa Habari Kipaumbele Kikuu cha CoRI
-
UMOJA wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) umekutana ilikujadili mambo matatu
muhimu ikiwemo kusaini makubaliano yatakayosaidia umoja huo ikiwa ni
kuelekea...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment