Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akimsikiliza Mjumbe kutoka Shirika la UNFPA Mark Schreiner alipofika ofisini kwake Mnazi Mmoja pamoja na Wajumbe wengine kutoka mashirika ya UNICEF na WHO Kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana ,Elimu Bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Wageni wake kutoka Mashirika ya UNICEF,UNFPA naWHO walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana Elimu bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui katikati akiwa katika Picha ya Pamoja na Wageni wake kutoka Mashirika ya WHO,UNICEF na UNFPA walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja Zanzibar
MAONESHO YA MIFUGO YA KIMATAIFA MBOGO 2025 KUANZA JUNI 14 CHALINZE
-
Na Mwandishi Wetu
MAONESHO ya Mifugo ya Kimataifa ya Mbogo 2025- ambayo yanakwenda kuandika
alama mpya sio tu kwa tasnia ya mifugo ya Tanzania, bali pia...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment