Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akimsikiliza Mjumbe kutoka Shirika la UNFPA Mark Schreiner alipofika ofisini kwake Mnazi Mmoja pamoja na Wajumbe wengine kutoka mashirika ya UNICEF na WHO Kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana ,Elimu Bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Wageni wake kutoka Mashirika ya UNICEF,UNFPA naWHO walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja kuzungumzia maswala ya Afya kwa Vijana Elimu bora na Uzazi salama Zanzibar.
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui katikati akiwa katika Picha ya Pamoja na Wageni wake kutoka Mashirika ya WHO,UNICEF na UNFPA walipofika Ofisini kwake Mnazi Mmoja Zanzibar
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment