Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Alhaj Zuberi Ali Maulid akimkabidhi Vyakula kwa Mwakilishi wa Nyumba ya Wazee Sebleni Unguja, wakati wa hafla ya Futari maalum iliyoandaliwa na Benki wa CRDB Tawi la Zanzinar, kwa Wateja wa benki hiyo Tawi la Zanzibar iliyofanyika katika viwanja wa Mao Zedung Unguja Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
DK.SAMIA KUING'ARISHA BUHIGWE KWA UMEME WA UHAKIKA, KUIONGEZEA THAMANI
TANGAWIZI
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Kigoma
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk Samia Suluhu
Hassan amesema ni ya Serikali ni kuifanya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment