Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Alhaj Zuberi Ali Maulid akimkabidhi Vyakula kwa Mwakilishi wa Nyumba ya Wazee Sebleni Unguja, wakati wa hafla ya Futari maalum iliyoandaliwa na Benki wa CRDB Tawi la Zanzinar, kwa Wateja wa benki hiyo Tawi la Zanzibar iliyofanyika katika viwanja wa Mao Zedung Unguja Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
RAIS SAMIA AFUNGA SEMINA YA WABUNGE WA CCM JIJINI DODOMA LEO.
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akifunga Semina ya
Wab...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment