Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde katika Kikao cha Wadau wa zao la Kahawa alichokiongoza kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa zao la Kahawa alichokiongoza kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba.

Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Wadau wa zao la Kahawa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipoongoza kikao hicho kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba,
Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Wadau wa zao la Kahawa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipoongoza kikao hicho kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba,
Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Wadau wa zao la Kahawa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipoongoza kikao hicho kwenye ukumbi wa ELCT mjini Bukoba, Mei 15, 2022.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment