Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mhe. Shamata Shaame Khamis amekabidhi baskeli 30 pamoja na visanduki 30 Kwa vikundi vya kuweka na kukopa vinajishihulisha kutoka Shehia mbali mbali za Zanzibar kupitia Mradi wa PDF.
Waziri wa Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Mhe. Shamata Shaame Khamis amekabidhi baskeli 30 pamoja na visanduki 30 Kwa vikundi vya kuweka na kukopa vinajishihulisha kutoka Shehia mbali mbali za Zanzibar kupitia Mradi wa PDF.
No comments:
Post a Comment