Habari za Punde

Zoezi la Kusaka Vipaji Kwa Wachezaji U-20 Zanzibar

 ZOEZI la  kusaka vipaji 'Scouting' kwa  wachezaji wa umri wa miaka  20  ( U-20) limeaza rasmin jana katika Uwanja wa Amaan Unuja Wilaya ya Mjini, ambalo litadumi kwa siku 3 mfululizo na vijana wengi wamejitokeza kushiriki zoezi hilo kuwania nafasi hiyo zaidi ya  Timu  30 zimejitokeza kuwani kupata nafasi ya vijana wao kupata nafasi hiyo.

Zoezi hilo lililoandaliwa na Afrisoccer  kwa kushirikiana na Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar kupitia ZFF.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.