Habari za Punde

Benki ya CRDB Yakabidhi Boti kwa Vikundi vya Uvuvi na Wakulima wa Mwani Mkoa wa Kaskazini Pemba

Baadhi ya Boti za Uvuvi na  Wakulima wa Mwani Mkoa wa Kaskazini Pemba zilizotolewa Mkopo Nafuu bila Riba kutoka Bebki ya CRDB. kwa Vikundi vya Ushirika katika Mkoa huo zikiwa na naza zake Sote za Uvuvi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Hundi ya Milioni Mia Mbili na Kumi na Laki Nane Mwenyekiti wa Kikundi cha Uvuvi cha Kiuyu Mbuyuni Pemba.Ndg.Hatibu Khamis Faki ikiwa mkopo nafuu uliotolewa na Benki ya CRDB kwa kikundi hicho, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja Soko la Samaki Tumbe 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Boti ya Uvuvi Kiongozi wa Kikundi cha Uvuvi Ndg.Faki Mpemba Faki, kwa ajili ya Uvuvi wa Samaki, boti hizo zimetolewa mkopo nafuu bila riba na Benki ya CRDB Kwa ajili ya Wajasiriamali wa Uvuvi wa Samaki na Wakulima wa Mwani katika Mkoa wa Kaskazini Pemba,hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Soko la Samaki Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Tumbe wakati wa hafla ya kukabidhi Boti kwa Wavuvi wa Samaki na Wakulima wa Mwani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi ya Maendeleo 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Tumbe wakati wa hafla ya kukabidhi Boti kwa Wavuvi wa Samaki na Wakulima wa Mwani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi ya Maendeleo.

BAADHI ya Vikundi vya Uvuvi Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia kabla ya kukabidhi Boti kwa Wavuvi na Wakulima wa Mwani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, zilizotolewa kwa Mkopo nafuu na Benki ya CRDB kwa Vikundi vya Ushirika, hafla hiyo iliyofanyika katika ufukwe wa Pwani ya Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.