Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Senegal Mhe. Macky Sall jana tarehe 06 Julai, 2022 kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika zinazonufaika na Dirisha la Maendeleo la Kimataifa (IDA 20 Summit for Afrika) tarehe 07 Julai, 2022 Dakar Senegal.
Mgombea Uwakilishi Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe Shaabn Ali
Othman Amechukua Fomu ya Uteuzi wa Kugombea Uwakilishi Jimbo la Mpendae
Zanzibar
-
Mgombea Uwakilishi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Mpendae
Zanzibar Mhe.Shaaban Ali Othman akielekea katika Ofisi za Tumu ya Uchaguzi
z...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment