Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Senegal Mhe. Macky Sall jana tarehe 06 Julai, 2022 kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika zinazonufaika na Dirisha la Maendeleo la Kimataifa (IDA 20 Summit for Afrika) tarehe 07 Julai, 2022 Dakar Senegal.
Tanzania Yateta na Uongozi wa Idara ya Sera za Kibajeti - IMF-FAD
-
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza
wakati ujumbe wa Tanzania ulipokutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa
Idara ya ...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment