RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipata
maelezo ya Bidhaa za Vifuu kutoka kwa Mwakilishi wa Kikundo cha Wajasiriamali
cha Kiumbe Mzito kutoka Masingini Bi.Mwanaid Maneno, wakati akitembelea
maonesho ya Wajasiriamali yalioandaliwa katika viwanja vya Hoteli ya Golden
Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja, wakati wa maadhimisho ya Siku ya
Kiswahili Duniani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Mama Mariam Mwinyi na Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakimsikiliza
Mwakilishi wa Kikundi kutoka Burundi Bi. Chantal Birarondekwa, wakati
akitembelea maonesho ya bidhaa za Wajasiriamali mbalimbali yaliyofanyika katika
viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja, wakati
wa Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Mama Mariam Mwinyi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi
na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,na (kulia kwa Rais) Naibu
Katibu Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Stephen Mlote, wakimsikiliza Mwakilishi
wa Kikundi Nia Safi Women Group.Bi. Neema Batraham, wakati akitembelea maonesho
ya bidhaa za Wajasiriamali mbalimbali yaliyofanyika katika viwanja vya Hoteli
ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Unguja, wakati wa Maadhimisho ya
Siku ya Kiswahili Duniani
No comments:
Post a Comment