RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandisi wa Wizara ya Afra
Zanzibar Said Ali Bakar, akitowa maelezo ya michoro ya Jengo Jipya la Hospitali
ya Wilaya Kitogani Wilaya ya Kusini Unguja,
wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo kutembelea Miradi ya Maendeleo,
hospitali hiyo inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Waziri
wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais) Naibu Waziri wa
Afya Zanzibar Mhe Hassan Hafidh Khamis.
OUT YAONGOZA MJADALA WA MAENDELEO ENDELEVU BARANI AFRIKA, KONGAMANO LA
BAASANA
-
Kongamano la Pili la Kitaaluma la BAASANA Afrika limezinduliwa rasmi
jijini Arusha, likiwakutanisha wanazuoni na wataalamu kutoka mataifa
mbalimbali kuja...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment