RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandisi wa Wizara ya Afra
Zanzibar Said Ali Bakar, akitowa maelezo ya michoro ya Jengo Jipya la Hospitali
ya Wilaya Kitogani Wilaya ya Kusini Unguja,
wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo kutembelea Miradi ya Maendeleo,
hospitali hiyo inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Waziri
wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais) Naibu Waziri wa
Afya Zanzibar Mhe Hassan Hafidh Khamis.
PROF. NDALICHAKO APONGEZA PSSSF KWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment