RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandisi wa Wizara ya Afra
Zanzibar Said Ali Bakar, akitowa maelezo ya michoro ya Jengo Jipya la Hospitali
ya Wilaya Kitogani Wilaya ya Kusini Unguja,
wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo kutembelea Miradi ya Maendeleo,
hospitali hiyo inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Waziri
wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais) Naibu Waziri wa
Afya Zanzibar Mhe Hassan Hafidh Khamis.
Umoja wa Ulaya Waadhimisha Miaka 50 Tanzania
-
· Siku ya Ulaya 2025 yaadhimisha Miaka 50 ya ushirikiano wa EU na Tanzania
na Miaka 25 ya mahusiano ya EU na AU
· Miongoni mwa wageni rasmi walikuwepo, Mhe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment