RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini
Pemba Mhe.Mattar Zahro Masoud na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa
na Idara Maalum za SMZ.Mhe Masoud Ali Mohammed,baada ya kuwasili Uwanja wa
Ndege wa Chakechake Pemba, kuendelea na ziara yake kutembelea Miradi ya
Maendeleo katika Mikoa Miwili ya Kusini na Kaskazini Pemba leo 25-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba na kusalimiana na Viongozi wa
Serikali na Chama Cha Mapinduzi leo 25-7-2022, akiendelea na ziara yake Pemba
kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Taasisi za Serikali Pemba alipowasili Uwanja wa Ndege Chakechake Pemba kwa ziara ya Kikazi kutembelea Miradi ya Maendeleo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa
na Idara Maalum za SMZ.Mhe Masoud Ali Mohammed leo 25-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasalimia Wananchi baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba kuendelea na ziara yake leo 25-7-2022,
kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mikoa miwili ya Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi baada ya kuwasili
Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba kuendelea na ziara yake leo 25-7-2022.
VIJANA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Pemba wakiwa
katika Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba wakati wa mapokezi ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) alipowasili Uwanja Ndege Chakechake Pemba,kuendelea na ziara yake
Pemba leo 25-7-2022, katika Mikoa Miwili ya Kusini na Kaskazini Pemba
No comments:
Post a Comment