Makamu wa kwanza wa Rais Mhe Alhaj Othman Masoud Othman leo Agosti 26, 2022 amejumuika na waumini mbali mbali wa dini ya kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Masjid Al Iman uliopo Kibweni, Mkoa wa mjini Magharibi
Makamu wa kwanza wa Rais Mhe Alhaj Othman Masoud Othman leo Agosti 26, 2022 akisalimiana na waumini mbali mbali wa dini ya kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika Masjid Al Iman uliopo Kibweni, Mkoa wa mjini Magharibi
Makamu wa kwanza wa Rais Mhe Alhaj Othman Masoud Othman leo Agosti 26, 2022 akiitikia dua wakati alipofika nyumbani kwa Mwakilishi mstaafu wa Jimbo la Uzini Mhe Mohammed Raza Hassanali, huko nyumbani kwake Kibweni Mshelishelini Wilaya ya Magharibi A kisiwani Unguja
No comments:
Post a Comment