Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mhe. Amir Abdlollahian aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 26 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mhe. Amir Abdlollahian aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi ya
picha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mhe. Amir Abdlollahian mara baada ya
mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha
ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mhe. Amir Abdlollahian mara baada
ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha Mjumbe
Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa maziwa makuu Mhe. Huang Xia mara
baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha
ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenye maziwa
makuu Mhe. Huang Xia mara baada ya mazungumzo Ikulu Ikulu Chamwino Mkoani
Dodoma
No comments:
Post a Comment