RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Sheikh.Gurudev Sri Sri Ravishankar (kulia kwa Rais) kutoka Bangalore Nchini India akiwa na Ujumbe wake, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 26-8-2022.(Picha na Ikulu)
KAMATI YAAGIZA WADAIWA SUGU KUONDOLEWA NYUMBA ZA TBA
-
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiagiza Wakala wa Ujenzi
Tanzania (TBA), kuwaondoa wapangaji ambao hawalipi kodi ya nyumba, ...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment