RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kuyafungua Maonesho ya Kilimo ya NaneNane katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 8-8-2022 na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe. Shamata Shaame Khamis na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasalimia Wananchi wakati wakitembelea Maonesho ya Nanenane katika viwanja
vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 8-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama
Mariam Mwinyi wakimsikiliza Mkurugenzi Idara ya Uendeshaji na Utumishi wa
Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar Ndg. Noha Saleh Said,
alipotembelea banda la maonesho la Wizara hiyo, baada ya kuyafungua Maonesho ya
Kilimo ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja leo 8-8-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Bi. Khadija Seif Salum,
wakati wakitembelea banda la maonesho la Taasisi ya Pass, baada ya kuyafungua
Maonesho ya Kilimo ya Nanenane katika viwanja vya Kizimbani Wilaya ya Magharibi
“A” Unguja leo 8-8-2022.
No comments:
Post a Comment