Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika Matembezi ya Amref Wogging Marathon ya Kilomita Tano yalioazia katika viwanja vya Maisara Suleiman na kumalizia katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkaazi wa Amref Tanzania Dr. Florence Temu na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakipita katika mitaa ya muembeladu wakielea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo ya Amref Wogging Marathon.
MO DEWJI: NIMETUMIA BILIONI 87 KWA AJILI YA SIMBA SC
-
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji)
amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ame...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment