Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika Matembezi ya Amref Wogging Marathon ya Kilomita Tano yalioazia katika viwanja vya Maisara Suleiman na kumalizia katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkaazi wa Amref Tanzania Dr. Florence Temu na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakipita katika mitaa ya muembeladu wakielea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo ya Amref Wogging Marathon.
Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mahonda Kwa Tiketi ya CCM Mhe. Mboja Ramadhani
Amechukua Fomu ya Uteuzi Uwakilishi
-
Afisa Uchaguzi Wilaya ya Kaskazini ‘B’ Mwanamkuu Gharib Mgeni akimkabidhi
fomu ya uteuzi Mgombea wa nafasi ya Uwakilishi Jimbo la Mahonda kupitia
Chama...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment