Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika Matembezi ya Amref Wogging Marathon ya Kilomita Tano yalioazia katika viwanja vya Maisara Suleiman na kumalizia katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkaazi wa Amref Tanzania Dr. Florence Temu na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakipita katika mitaa ya muembeladu wakielea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo ya Amref Wogging Marathon.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
1 day ago

No comments:
Post a Comment