Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiwa katika Matembezi ya Amref Wogging Marathon ya Kilomita Tano yalioazia katika viwanja vya Maisara Suleiman na kumalizia katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mkaazi wa Amref Tanzania Dr. Florence Temu na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, wakipita katika mitaa ya muembeladu wakielea Uwanja wa Amaan kumalizia matembezi hayo ya Amref Wogging Marathon.
Emirates kuongeza safari za ndege kutoka tano kwa wiki hadi kila siku
-
EMIRATES itaongeza safari za ndege zinazotoka Dar es Salaam, kutoka safari
tano kwa wiki hadi za kila siku kuanzia Mei Mosi, mwaka huu. Watanzania
sasa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment