Mafundi wa Kikosi cha KMKM wakishusha Boti Aina ya Faiba iliomalizika kutengenezwa katika Kiwanda Cha Kutengenezea Boti aina ya FAIBA kinacho milikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar,Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar,
Mkuu wa KMKM Komodoo Azana Hassan Msingiri akitoa hotuba ya makaribisho kwa Mgeni Rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Boto aina ya Faiba kinacho milikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar,Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar,
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mudrik Ramadhan Soraga akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Boto aina ya Faiba kinacho milikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar,Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar,
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment