Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Mapinduzi Kati ya Malindi na Jamhuri mchezo Uliofanyika Jana Usiku Uwanja wa Amaan. Timu ya Malindi Imeshinda Mchezo huo kwa Bao 2-0


Kikosi cha Timu ya Malindi kinachoshiriki Michuano ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar , katika mchezo wao wa ufunguzi wa michuano huo ilimetoka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Timu ya Jamhuri, mchezo uliyofanyika jana usiku 1-1-2023 katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
Kikosi cha Timu ya Jamhuri kinachoshiriki Michuano ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, katika mchezo wao wa Ufunguzi wamekubali kichapo cha bao 2-0 dhidi ya Timu ya Malindi katika mchezo wao wa ufunguzi uliyofanyika jana usiku 1-1-2023 katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.