Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Azungumza na Wadau wa Kilimo Dakar Senegal

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya OCP inayotengeneza Mbolea Dkt. Mostafa Terrab, Dakar Nchini Senegal

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya OCP inayotengeneza Mbolea Dkt. Mostafa Terrab mara baada ya mazungumzo, Dakar Nchini Senegal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshauri Maalum wa Kampuni ya Yara  Arne Cartridge, Dakar nchini Senegal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mshauri Maalum wa Kampuni ya Yara  Arne Cartridge, Dakar nchini Senegal.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.